Waziri wa elimu nchini Migos Ogamba amesema serikali ina mipango ya kuongeza idadi ya wanafunzi wanaojiunga na vyuo vya Anuwai TVET hadi milioni mbili mwaka ujao.
Waziri Migos akizungumza katika chuo cha kiufundi cha Maasai Mara vocational Training Centre eneo la Eor-Ekule Narok mashariki, ameeleza kuwa wanafunzi zaidi ya 1,500 wamejiunga na chuo hicho huku akisema kuwa serikali imeweka mipango ya kuhakikisha inafadhili elimu kwa wanafunzi wengi kwa vyuo hivyo vya kiufundi nchini.
Waziri huyo aliongeza kuwa Serikali itaendelea kufanya uwekezaji wa kimkakati katika sekta ya TVET ili kuiweka upya kama lango la ujuzi na uwezeshaji wa vijana.
This morning, the Cabinet Secretary for Education, Julius Migos Ogamba, has visited the Maasai Mara Technical and Vocational College in Narok County.
The Cabinet Secretary has had a briefing session with the College’s Board of Governors and management and inspected various pic.twitter.com/P1JYX2iRMW
— Ministry of Education, Kenya (MoE) (@EduMinKenya) September 3, 2025
facilities that have recently been commissioned on account of Government funding to the institution.
The Government will continue to make strategic investments in the TVET sub-sector to reposition it as the gateway to youth skilling and empowerment. pic.twitter.com/Do0p5hugEi
— Ministry of Education, Kenya (MoE) (@EduMinKenya) September 3, 2025