Papa Francis

Papa Francis Asema Hana Nia ya Kujiuzulu Kutokana na Afya Njema

Kiongozi wa Kanisa Katoliki duniani Papa Francis, ameeleza kwamba hana nia ya kujiuzulu kutoka kwa wadhifa huo, akisema kwamba afya yake inamruhusu kuendelea na majukumu yake. Kauli hii imetolewa kupitia kitabu kipya ambacho dondoo zake zimechapishwa katika gazeti la Italia, Corriere della…

Papa Francis Padre John Njue Njeru Kuwa Msimamizi wa Kitume wa Jeshi la Kenya

Papa Francis amteua Padre John Njue Njeru kama msimamizi wa Kitume wa Jeshi.

Kiongozi wa kanisa Katoliki duniani, Papa Francis, amemteua Luteni Kanali Padre (Monsignor) Mons. John Njue Njeru kama Msimamizi wa Kitume wa idara ya jeshi nchini Kenya. Taarifa ya uteuzi huu ilitangazwa siku ya Jumanne, Januari 30 na Baraza la Maaskofu wa kikatoliki…

Askofu paul Kariuki asimikwa rasmi kama askofu wa kwanza wa jimbo jipya la Wote.

Askofu paul Kariuki hii leo amesimikwa rasmi kama askofu wa kwanza wa jimbo jipya la Wote katika uwanja wa shule ya UNOA kule Makueni. Jimbo hili jipya lilimegwa kutoka jimbo la Machakos na likatangazwa kuwa jimbo tarehe 22 mwezi julai mwaka huu.…

Askofu Oballa Awahimiza Wanafunzi Kujifunza Kutoka Kwa Maisha ya Mama Maria.

Askofu wa Jimbo Katoliki la Ngong, John Oballa Owaa, ametoa wito kwa wanafunzi kuimarisha maisha yao ya sala kama njia ya kukabiliana na changamoto. Askofu alitoa wito huu wakati wa homilia yake kwenye misa ya kusherehekea miaka 60 tangu kuanzishwa kwa Shule…

Papa Francis

Papa Francis Aipongenza Mongolia Kwa Amani na Uhuru wa Kidini.

Kiongozi wa Kanisa Katoliki duniani, Papa Francis, ametoa hotuba ya kusisimua wakati wa ziara yake nchini Mongolia, akiipongeza nchi hiyo kwa kuhimiza amani na uhuru wa kidini. Papa Francis alipokelewa kwa heshima ya kijeshi, ishara ya ukarimu na heshima ya juu aliyopewa…

Wote

Papa Francis Atangaza Kuundwa kwa Jimbo la Wote, Kaunti ya Makueni.

Kiongozi wa Kanisa Katoliki Duniani, Papa Francis, ametangaza kuanzishwa kwa jimbo jipya katika eneo la Wote, kaunti ya Makueni. Hatua hii ya kihistoria inalenga kuimarisha huduma za kiroho na kuwahudumia waumini katika eneo hilo kwa njia bora zaidi. Tangazo hilo limetolewa na…

Cleophas Oseso

Askofu Cleophas Oseso atawazwa na kusimikwa kama askofu wa Nakuru.

Waumini wa kikatoliki katika jimbo Katoliki la Nakuru wamekuwa na siku ya furaha na shangwe, baada ya kutawazwa na kusimikwa kwa Askofu Cleophas Oseso kama askofu mpya wa jimbo hilo. Hafla ya kutawazwa kwa Askofu Oseso iliandaliwa katika uga wa shule ya…

Isiolo Diocese

Jimbo la Isiolo lazinduliwa rasmi, Askofu Anthony Ireri akisimikwa ili kuliongoza.

Waumini wa kanisa katoliki katika kaunti ya Isiolo na maeneo jirani wana kila sababu ya kutabasamu sasa, baada ya kupandishwa hadhi kwa Vikarieti ya Isioli hadi kuwa jimbo katoliki la Isiolo, katika hafla iliyoandaliwa kutwa ya leo. Jimbo katoliki la Isiolo litaongozwa…