Douglas Kanja ateuliwa rasmi kutwaa wadhfa wa Inspekta jenerali wa polisi.

Douglas Kanja ambaye amekuwa akihudumu kama kaimu Inspekta jenerali wa polisi kwa majuma mawili, sasa ameteuliwa rasmi kutwaa wadhfa huo ambao uliachwa wazi kufuatia kujiuzulu kwa Japhet Koome baada ya shinikizo kutoka kwa wakenya. Kupitia taarifa, mkuu wa utumishi wa umma Felix…

Inspekta

Maafisa 8 Kugombea Nyadhifa za Naibu Inspekta Jenerali wa Polisi wa Kitaifa na wa Utawala.

Tume ya Kitaifa ya Huduma ya Polisi (NPSC) imechapisha majina nane ya maafisa walio na nia ya kutwaa nyadhifa za Naibu Inspekta Jenerali wa Polisi wa Kitaifa (NPS) na Naibu Inspekta Jenerali wa Polisi ya Utawala (APS). Nafasi hizo ziliachwa wazi wiki…

Polisi

Polisi Wapiga Marufuku Maandamano Katikati Mwa Jiji la Nairobi.

Idara ya Polisi nchini imetangaza kupiga marufuku shughuli za maandamano katikati mwa jiji la Nairobi. Kaimu Inspekta Generali wa Polisi, Douglas Kanja, alitoa tangazo hilo kupitia taarifa rasmi siku ya Jumatano. Kanja alieleza kuwa maafisa wa polisi wamekuwa na wakati mgumu katika…

Mwanamke

Mwanamke Ahukumiwa Miaka 20 Gerezani kwa Kumnajisi Mvulana wa Miaka 15

Mwanamke mmoja mwenye umri wa miaka 24 katika Kaunti ya Narok, amehukumiwa kifungo cha miaka 20 gerezani baada ya kupatikana na hatia ya kumnajisi mvulana wa miaka 15. Mary Yamati Njoki alifikishwa mbele ya Hakimu Mkuu wa Narok, Phillis Shinyada, ambapo alihukumiwa…

Rais William Ruto alivunja baraza lake la mawaziri katika mabadiliko ya hivi punde.

Rais William Ruto amelivunja baraza lake la mawaziri katika mabadiliko ya hivi punde aliyotangaza muda mfupi uliopita. Katika tangazo hilo ambalo halikutarajiwa, kiongozi wa taifa ametangaza kuwatimua mara moja mawaziri wote isipokuwa waziri wa mahusiano ya kigeni Musalia Mudavadi. Uamuzi huu ulionekana…

Assent IEBC

Rais Ruto Asaini Mswada wa Tume Huru ya Uchaguzi na Mipaka (IEBC) Kuwa Sheria

Rais William Ruto ametia saini mswada wa Tume Huru ya Uchaguzi na Mipaka (IEBC) kuwa sheria katika hafla iliyoandaliwa kwenye Ukumbi wa Kimataifa wa Mikutano wa KICC asubuhi ya leo. Mswada huo, ambao ulipitishwa na mabunge yote mawili, unatoa mwongozo wa jinsi…

Rais William Ruto atangaza masharti mapya yatakayosaidi kupunguza matumizi serikalini.

Ofisi za wachumba wa rais, naibu wa rais na mkuu wa mawaziri hazitaendelea kupokea mgao wa fedha kutoka kwa bajeti ya kitaifa. Haya yametangazwa na rais William Ruto. Akilihutubia taifa katika ikulu ya Nairobi, rais Ruto ameeleza kuwa hatua hii inanuia kupunguza…

Mahakama Kuu Yairuhusu Jeshi la KDF Kushirikiana na Polisi Kudumisha Amani.

Jeshi la Taifa litaendelea kusaidiana na maafisa wa polisi katika shughuli za kudumisha amani humu nchini. Hii ni baada ya Mahakama Kuu hapo jana kutoa uamuzi unaoruhusu jeshi kuendeleza shughuli hizo, na kufuta kesi iliyokuwa imewasilishwa na Chama cha Mawakili Nchini (LSK).…