Maambukizi ya virusi vya Ukimwi yamepungua kutoka asilimia 5.6 hadi asilimia 1.8 katika Kaunti ya Narok katika kipindi cha miaka 20 iliyopita. Gavana wa Kaunti ya Narok, Patrick Ntutu, alitoa takwimu hizi siku ya Jumatatu 13.01.2025 wakati wa ufunguzi wa warsha ya…
Kamati ya uteuzi katika Bunge la Kitaifa leo itaendesha vikao vya kuwapiga msasa mawaziri watatu walioteuliwa kujiunga na Baraza la Mawaziri. Mawaziri hao ni aliyekuwa Waziri wa Afya, Mutahi Kagwe (Kilimo), pamoja na magavana wa zamani William Kabogo (Habari, Mawasiliano na Uchumi…
Serikali ya kaunti ya Narok inapana kuwaajiri watu 700 mwaka huu katika idara mbali mbali za serikali. Haya ni kwa mujibu wa gavana wa Narok patrick Ntutu. Akilihutubia bunge la kaunti ya Narok wakati wa hfala ya kuapishwa kwa afisa mkuu mtendaji…
Askofu Mkuu wa Jimbo Kuu Katoliki la Nyeri, Mhashamu Anthony Muheria, ameendeleza ukosoaji mkali dhidi ya viongozi wa kisiasa, akitaja matukio ya hivi karibuni ya malumbano ya kisiasa yaliyoshuhudiwa katika hafla za mazishi Magharibi mwa Kenya kama jambo la kusikitisha na lisilofaa.…
Shirika la usafiri wa ndege la Kenya Airways limetangaza kuwa litaanza tena safari zake za moja kwa moja kuelekea Luanda, Angola, kuanzia mwezi Machi mwaka huu. Tangazo hili limefuatia makubaliano ya pande mbili kati ya Rais William Ruto wa Kenya na Rais…
Gavana wa Kaunti ya Narok Patrick Ole Ntutu, ameahidi kuanzishwa kwa uchunguzi wa kina ili kubaini chanzo cha mkasa wa moto uliotokea katika kituo cha uchukuzi wa magari mjini Narok. Kupitia ujumbe aliouchapisha kwenye mtandao wa kijamii wa X, Gavana Ntutu alifichua…
Vijana wanne kati ya sita waliokuwa wametekwa nyara mwezi uliopita wameachiliwa huru na kuungana na familia zao mapema leo. Kulingana na jamaa wa Billy Mwangi, Peter Muteti, Bernard Kavuli na Rony Kiplangat, walipokea mawasiliano kutoka kwa vijana hao huku Mwangi na Muteti…
Taasisi husika katika wizara za kawi na ile ya barabara na uchukuzi, zimeagizwa kufutilia mbali kandarasi ya miaka 30 iliyokuwa imetolewa kwa kampuni ya Adani kupanua baadhi ya njia za umeme nchini. Agizo hili limetolewa na rais William Ruto. Kwenye hotuba yake…