Radio Osotua › Local News

Jaji mkuu Martha Koome ashikilia kwamba uhuru wa mahakama hautaingiliwa kwa namna yoyote

Local News February 21, 2024 Brigit Agwenge

Jaji mkuu Martha Koome ameshikilia kwamba uhuru wa idara ya mahakama hautaingiliwa kwa namna yoyote. Kwenye kikao na waandishi wa habari baada ya kufanya mkutano na rais William Ruto huko Naivasha, Koome hata hivyo amesema kuwa idara hiyo iko tayari kufanya mazungumzo ya kujadili changamoto zinazokumba idara hiyo.

Hotuba ya koome inajiri baada ya kukamilika kwa mkutano wa wakuu wa idara ya mahakama.