Radio Osotua › Local News

Maandalizi ya mitihani ya kitaifa Narok yanoga shule zikiweka hatua za lala salama

Local News November 22, 2022 Osotua

BY ISAYA BURUGU 22ND NOV 2022-Huku mitihani ya kitaifa ikiratibiwa kuanza kote nchini katika muda wa wiki moja ijayo shule ziko kwenye harakati za mwisho mwisho kujiandaa kwa kipindi hicho cha mitihani.

Shule ya upili ya wasichana ya Kilgoris haijaachwa nyuma katika mandalizi hayo.

Mwalimu mkuu wa shule hiyo Mary Chirchir amedokeza kuwa wamewandaa vyakutosha watainiwa 102 wa shule hiyo.Pia  amesema kuwa hapajakuwa na kisa chochote cha watainiwa kuwa wajawazito isipokuwa wawili walioifunga mapea mwaka huu na kurejea shuleni.Antony Mintila ana ripoti hiyo kwa kina.