BY ISAYA BURUGU ,OCT 14,2022-Rais Wiliamu Ruto  hivi leo ameongoza hafla ya kuwakumbuka wanajeshi waliopoteza Maisha yao wakati wakilinda taifa hili katika nyakati tofauti.

Hafla hiyo imeandaliwa katika kambi ya kijeshi ya Laikipia Airbase.

Katika hafla hiyo rais amezindua sanamu iliyo na buti sawa na kofia kwa heshima ya maafisa wakijeshi walioaga dunia wakilinda nchi.

Share the love
October 14, 2022

Leave a Comment

Your email address will not be published. Required fields are marked *

%d bloggers like this: