Radio Osotua › Local News

Hali ya watoto kujiunga na shule Transmara Magharibi yaimarika

Local News March 2, 2023 Osotua

 BY ISAYA BURUGU,2ND MARCH 2023-Hatua ya wazazi kujitahidi kuwarejesha Watoto wao shulleni katika lokesheni ya Poroko huko Transmara Narok magharibi imeshabikiwa na utawala eneo hilo.Chifu wa Poroko Susan Saning’o amesema kwa sasa hali hiyo imepelekea mpango wa serikali kuhakikisha kuwa Watoto wanajiunga na shule kwa asilimia mia kwa mia kupigwa jeki Pakubwa.Moses Kanchorri anaripoti kutoka Transmara.