Rais William Ruto ameongoza hafla ya kuwapa bendera ya taifa na kuwatuma wanajeshi wa kenya katika taifa la Kidemokrasia la Congo, kusaidia taifa hilo katika vita dhidi ya kundi la waasi wa M23, kama mojawapo ya juhudi za Pamoja za mataifa ya afrika mashariki za kutuma kikosi cha kijeshi katika taifa hilo ili kurejesha amani.
2 Comments