Naibu wa Rais Rigathi Gachagua ameongoza hafla ya uzinduzi wa safari ya ndege ya kwanza kabisa kuelekea katika kaunti ya Kakamega.

Hafla ya uzinduzi wa safari hiyo iliandaliwa katika uwanja wa ndege wa Wilson Jijini Nairobi, na kushuhudia ndege ya abiria ya kampuni ya Skyward Express ikianza safari hiyo kuelekea katika kaunti ya Kakamega, kuashiria mwanzo wa safari za ngege kuelekea katika kaunti hiyo ya magharibi.

Gachagua aliyeandamana na viongozi wa serikali akiwemo Waziri wa uchukuzi Kipchumba Murkomen amesema kuwa hatua hiyo itafungua sekta ya utalii wa ndani sawa na kubuni nafasi za ajira kwa watu wa magharibi.

Share the love
December 14, 2022

2 Comments

  • Forrest

    14/01/2023

    Piеce of writing writing is also a excitement,
    if you be familiar with afteгward you can wrіte otherwise it is complicated to write.

  • Marcia

    11/03/2023

    AԀmiring the time аnd effoгt you put into your blog and in dеpth
    information you provide. It’s awesome to come аcross a blog
    every once in a while that isn’t the same old rehashed materiaⅼ.
    Fantastic read! I’ve bookmarked your site ɑnd I’m includіng
    your RSS feeds to my Ԍoogle account.

Leave a Comment

Your email address will not be published. Required fields are marked *

%d bloggers like this: