This morning I held a meeting with the Narok County Commissioner at his offices. We are aware of the ongoing drought crisis in the country brought about by tough and changing climate conditions. Unfortunately, as a county, this challenge is with us. pic.twitter.com/u7aeMtfvZz
— Governor Patrick Ole Ntutu (@OleNtutuK) October 11, 2022
Akiwahutubia waandishi wa habari nje ya Ofisi yake kamishena Isaac Masinde amesema zaidi ya shule 130 katika kaunti ya Narok zinahitaji msaada wa chakula kutokana na makali ya njaa. Masinde amesema kuwa serikali kwa ushirikiano na mashirika yasiyo ya kiserikali wanafanya juhudi za pamoja ili kuhakikisha kuwa wamesamabaza chakula cha msaada kwa maeneo yaliyoathirika.
We are seized with the situation and at the moment we are laying down strategies to mitigate. As such, today’s meeting was to set the stage for critical intervention measures that we are deploying. pic.twitter.com/UOQpvTCSTF
— Governor Patrick Ole Ntutu (@OleNtutuK) October 11, 2022
Gavana Ntutukwa upande wake amesema kuwa sehemu zilizokabwa zaidi na njaa ni maeneo ya Mosiro Narok mashariki, Narosura, maji moto, eneo la Loita, Naikara, kapsasian eneo la Ilkeren Trasmara magharibi pamoja na eneobunge la Emurua Dikirr. Ntutu amesema serikali ya kaunti ya Narok itashirikiana na ile ya kitaifa kuhakikisha kuwa misaada mbali mbali imewafikia wakazi wa maeneo haya.
Taarifa zaidi
Mambo Yote Shwari Ndani ya UDA, Cleophas Malala Akanusha Semi Kuhusu Mvutano.
Katibu wa Kitaifa wa Chama tawala cha UDA, Cleophas Malala, amekanusha uvumi wa kuwepo nyufa ndani ya chama…
- 22 Sep 2023
- Post By John Waicua
Amri yatolewa ya kuwaua wahalifu wowote wanaolenga maafisa wa usalama au kambi za usalama.
Waziri wa Usalama wa Ndani Kithure Kindiki ametoa amri ya kuwaua wahalifu wowote wanaolenga maafisa wa usalama au…
- 22 Sep 2023
- Post By Brigit Agwenge
Mahakama ya Mizozo ya Vyama vya Kisiasa yaongeza muda wa agizo la kukizuia chama cha ODM kuwatimua wabunge
Mahakama ya Mizozo ya Vyama vya Kisiasa imeongeza muda wa agizo la kukizuia chama cha ODM kuwatimua Seneta…
- 22 Sep 2023
- Post By Brigit Agwenge