This morning I held a meeting with the Narok County Commissioner at his offices. We are aware of the ongoing drought crisis in the country brought about by tough and changing climate conditions. Unfortunately, as a county, this challenge is with us. pic.twitter.com/u7aeMtfvZz
— Governor Patrick Ole Ntutu (@OleNtutuK) October 11, 2022
Akiwahutubia waandishi wa habari nje ya Ofisi yake kamishena Isaac Masinde amesema zaidi ya shule 130 katika kaunti ya Narok zinahitaji msaada wa chakula kutokana na makali ya njaa. Masinde amesema kuwa serikali kwa ushirikiano na mashirika yasiyo ya kiserikali wanafanya juhudi za pamoja ili kuhakikisha kuwa wamesamabaza chakula cha msaada kwa maeneo yaliyoathirika.
We are seized with the situation and at the moment we are laying down strategies to mitigate. As such, today’s meeting was to set the stage for critical intervention measures that we are deploying. pic.twitter.com/UOQpvTCSTF
— Governor Patrick Ole Ntutu (@OleNtutuK) October 11, 2022
Gavana Ntutukwa upande wake amesema kuwa sehemu zilizokabwa zaidi na njaa ni maeneo ya Mosiro Narok mashariki, Narosura, maji moto, eneo la Loita, Naikara, kapsasian eneo la Ilkeren Trasmara magharibi pamoja na eneobunge la Emurua Dikirr. Ntutu amesema serikali ya kaunti ya Narok itashirikiana na ile ya kitaifa kuhakikisha kuwa misaada mbali mbali imewafikia wakazi wa maeneo haya.
Taarifa zaidi
Watu 6 Waangamia Kwenye Ajali ya Barabara Eneo la Silanga, Narok
Watu sita wameaga dunia na wengine saba kujeruhiwa vibaya katika ajali mbaya ya barabarani iliyotokea eneo la Silanga…
- 22 Apr 2024
- Post By John Waicua
Mkuu wa Majeshi Jenerali Francis Ogolla Kuzikwa Siku ya Jumapili Familia Yasema.
Aliyekuwa Mkuu wa majeshi humu nchini Marehemu Jenerali Francis Ogolla, ambaye alifariki katika ajali ya ndege katika kaunti…
- 19 Apr 2024
- Post By John Waicua
Askofu mkuu Maurice Muhatia ateuliwa kuwa mwenyekiti wa Baraza la maaskofu KCCB.
Askofu mkuu wa jimbo kuu la Kisumu Maurice Muhatia Makumba ameteuliwa kuwa mwenyekiti wa baraza la maaskofu wa…
- 11 Apr 2024
- Post By Brigit Agwenge