This morning I held a meeting with the Narok County Commissioner at his offices. We are aware of the ongoing drought crisis in the country brought about by tough and changing climate conditions. Unfortunately, as a county, this challenge is with us. pic.twitter.com/u7aeMtfvZz
— Governor Patrick Ole Ntutu (@OleNtutuK) October 11, 2022
Akiwahutubia waandishi wa habari nje ya Ofisi yake kamishena Isaac Masinde amesema zaidi ya shule 130 katika kaunti ya Narok zinahitaji msaada wa chakula kutokana na makali ya njaa. Masinde amesema kuwa serikali kwa ushirikiano na mashirika yasiyo ya kiserikali wanafanya juhudi za pamoja ili kuhakikisha kuwa wamesamabaza chakula cha msaada kwa maeneo yaliyoathirika.
We are seized with the situation and at the moment we are laying down strategies to mitigate. As such, today’s meeting was to set the stage for critical intervention measures that we are deploying. pic.twitter.com/UOQpvTCSTF
— Governor Patrick Ole Ntutu (@OleNtutuK) October 11, 2022
Gavana Ntutukwa upande wake amesema kuwa sehemu zilizokabwa zaidi na njaa ni maeneo ya Mosiro Narok mashariki, Narosura, maji moto, eneo la Loita, Naikara, kapsasian eneo la Ilkeren Trasmara magharibi pamoja na eneobunge la Emurua Dikirr. Ntutu amesema serikali ya kaunti ya Narok itashirikiana na ile ya kitaifa kuhakikisha kuwa misaada mbali mbali imewafikia wakazi wa maeneo haya.
Taarifa zaidi
IEBC Yaibua Wasiwasi Kuhusu Hali Ya Kisiasa Nchini.
Tume Huru ya Uchaguzi na Mipaka (IEBC) imeibua wasiwasi kuhusu hali ya kisiasa ya sasa nchini, ikionya kwamba…
- 15 Apr 2026
- Post By Brigit Agwenge
Zaidi Ya Lita Milioni 2.8 Za Pombe Haramu Zanaswa.
Zaidi ya lita milioni 2.8 za pombe haramu zimekamatwa na zaidi ya washukiwa 900 wamekamatwa tangu Serikali ilipoanzisha…
- 14 Apr 2026
- Post By Brigit Agwenge
Opiyo Wandayi Asema Hakuna Sababu Ya Kujiuzulu.
Waziri wa kawi Opiyo Wandayi amepuuza miito ya kujiuzulu kufuatia usafirishaji wa mafuta wa shilingi bilioni 4.8 nje…
- 13 Apr 2026
- Post By Brigit Agwenge

