This morning I held a meeting with the Narok County Commissioner at his offices. We are aware of the ongoing drought crisis in the country brought about by tough and changing climate conditions. Unfortunately, as a county, this challenge is with us. pic.twitter.com/u7aeMtfvZz
— Governor Patrick Ole Ntutu (@OleNtutuK) October 11, 2022
Akiwahutubia waandishi wa habari nje ya Ofisi yake kamishena Isaac Masinde amesema zaidi ya shule 130 katika kaunti ya Narok zinahitaji msaada wa chakula kutokana na makali ya njaa. Masinde amesema kuwa serikali kwa ushirikiano na mashirika yasiyo ya kiserikali wanafanya juhudi za pamoja ili kuhakikisha kuwa wamesamabaza chakula cha msaada kwa maeneo yaliyoathirika.
We are seized with the situation and at the moment we are laying down strategies to mitigate. As such, today’s meeting was to set the stage for critical intervention measures that we are deploying. pic.twitter.com/UOQpvTCSTF
— Governor Patrick Ole Ntutu (@OleNtutuK) October 11, 2022
Gavana Ntutukwa upande wake amesema kuwa sehemu zilizokabwa zaidi na njaa ni maeneo ya Mosiro Narok mashariki, Narosura, maji moto, eneo la Loita, Naikara, kapsasian eneo la Ilkeren Trasmara magharibi pamoja na eneobunge la Emurua Dikirr. Ntutu amesema serikali ya kaunti ya Narok itashirikiana na ile ya kitaifa kuhakikisha kuwa misaada mbali mbali imewafikia wakazi wa maeneo haya.
Taarifa zaidi
Rais William Ruto aikabidhi serikali ya Narok hatimiliki ya msitu wa Mau.
Rais William Ruto hii leo amezindua na kufungua miradi mbalimbali katika maeneobunge ya Narok mashariki na Narok kaskazini…
- 6 May 2025
- Post By Brigit Agwenge
Wazee wa Jamii ya Maa Wataka Ukarabati wa Barabara Rais Anapozuru Narok.
Baraza la Wazee wa Jamii ya Maa nchini limetoa wito kwa Rais Dkt. William Ruto kuzindua rasmi shughuli…
- 5 May 2025
- Post By John Waicua
Mapendekezo ya Mswada wa Fedha wa 2025 Wasilishwa Bungeni
Spika wa Bunge la Taifa, Moses Wetang’ula, amethibitisha kupokea rasmi rasimu ya Mswada wa Fedha wa mwaka 2025,…
- 1 May 2025
- Post By John Waicua