This morning I held a meeting with the Narok County Commissioner at his offices. We are aware of the ongoing drought crisis in the country brought about by tough and changing climate conditions. Unfortunately, as a county, this challenge is with us. pic.twitter.com/u7aeMtfvZz
— Governor Patrick Ole Ntutu (@OleNtutuK) October 11, 2022
Akiwahutubia waandishi wa habari nje ya Ofisi yake kamishena Isaac Masinde amesema zaidi ya shule 130 katika kaunti ya Narok zinahitaji msaada wa chakula kutokana na makali ya njaa. Masinde amesema kuwa serikali kwa ushirikiano na mashirika yasiyo ya kiserikali wanafanya juhudi za pamoja ili kuhakikisha kuwa wamesamabaza chakula cha msaada kwa maeneo yaliyoathirika.
We are seized with the situation and at the moment we are laying down strategies to mitigate. As such, today’s meeting was to set the stage for critical intervention measures that we are deploying. pic.twitter.com/UOQpvTCSTF
— Governor Patrick Ole Ntutu (@OleNtutuK) October 11, 2022
Gavana Ntutukwa upande wake amesema kuwa sehemu zilizokabwa zaidi na njaa ni maeneo ya Mosiro Narok mashariki, Narosura, maji moto, eneo la Loita, Naikara, kapsasian eneo la Ilkeren Trasmara magharibi pamoja na eneobunge la Emurua Dikirr. Ntutu amesema serikali ya kaunti ya Narok itashirikiana na ile ya kitaifa kuhakikisha kuwa misaada mbali mbali imewafikia wakazi wa maeneo haya.
Taarifa zaidi
Jenerali Charles Muriu Kahariri Aapishwa Kuwa Mkuu wa Majeshi ya Kenya
Jenerali Charles Muriu Kahariri ameapishwa na kusimikwa rasmi kama mkuu wa majeshi nchini Kenya asubuhi ya leo, baada…
- 3 May 2024
- Post By John Waicua
MAFURIKO | Wakenya Wanaoishi Karibu na Mabwawa Waagizwa Kuhama.
Wakenya wanaoishi katika maeneo yanayokabiliwa na hatari ya kushuhudia mafuriko au maporomoko ya arthi wameagizwa kuhama kutoka maeneo…
- 3 May 2024
- Post By John Waicua
Watu 42 wathibitishwa kufariki baada ya mafuriko kusomba nyumba kadhaa Mai Mahiu.
Watu 42 wamethibitishwa kufariki baada ya mafuriko makubwa kusomba nyumba kadhaa katika Kijiji cha Kamuchiri Mai Mahiu, Kaunti…
- 29 Apr 2024
- Post By Brigit Agwenge