ONGEZEKO LA EBOLA

  BY: BRIGIT AGWENGE/5TH OCT 2022-Wizara ya afya ya Uganda imethibitisha kifo cha mhudumu mwingine wa afya, ambaye aliaga dunia leo asubuhi.Bi Margaret Nabisubi, mwenye umri wa miaka 58, ni mhudumu wa afya wa nne kufa kwa Ebola, kwa mujibu na waziri…

Viongozi wa ulimwengu waanza kukusanyika nchini Uingereza kwa ajili ya kuhudhuria mazishi ya Malkia Elizabeth wa ll.

BY DW,17TH SEPT,2022-Viongozi wa ulimwengu wameanza kukusanyika mjini London kuanzia leo Jumamosi kwa ajili ya kuhudhuria mazishi ya Malkia Elizabeth II.Wana mfalme William na Harry watatoa heshima zao kwa bibi yao. Leo Jumamosi wana mfalme William na Harry wakitarajiwa kuwaongoza wajukuu zake…