Kiongozi wa kanisa katoliki duniani Papa Francis, amewatolea wito wakristu kuliombea taifa la DR Congo, wakati hali ya machafuko ikiendelea kulikumba taifa hilo. Katika waraka wa maombolezi kwa askofu wa kanisa la Church of Christ katika taifa hilo la Congo, Papa Francis…
Idadi kubwa ya wajumbe wa Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa imeutolea wito utawala wa Taliban nchini Afghanistan kuondoa mara moja vikwazo vyote Vinavyowakandamiza wasichana na wanawake ikiwa ni pamoja na marufuku ya wanawake kutofanya kazi katika mashirika ya misaada. Taarifa…
Mawaziri wa mambo ya kigeni wa Ufaransa na Ujerumani wako mjini Addis Ababa kwa lengo la kuunga mkono makubaliano ya amani yaliyotiwa saini mwaka jana kumaliza miaka miwili ya vita vikali. Ziara ya Catherine Colonna wa Ufaransa na Annalena Baerbock na Ujerumani…
Uganda imetangaza kuwa virusi vya ebola vilivyoibuka karibu miezi minne iliyopita na kuua watu 55 vimeisha nchini humo,tangazo ambalo limeungwa mkono na shirika la afya duniani WHO. Kwa mujibu wa wawziri wa afya nchini humo Jane Aceng ni kwamba Januari 11 iliadhimisha…
Watu kadhaa wamejeruhiwa na wengine kutekwa nyara katika shambulizi lililofanyika katika kituo cha treni nchini Nigeria. Kulingana na polisi, watu waliokuwa wamejihami kwa bunduki waliwavamia abiria waliokuwa wakisubiri treni huku juhudi za kuwasaka waliotekwa nyara zikiendelea. Vyombo vya habari vya Nigeria vimeripoti…
Kiongozi wa chama cha Republican Kevin McCarthy amechaguliwa kuwa spika wa Baraza la Wawakilishi la Bunge la Marekani katika jaribio la kihistoria la 15, baada ya siku kadhaa za duru za upigaji kura kushindwa kufanikiwa. Warepublican walishangilia wakati ushindi wake ulipotangazwa huku…
Kiongozi wa kanisa Katoliki Papa Francis mchana wa leo ameongoza misa ya ibada ya mazishi ya mtangulizi wake Papa Benedict XVI mjini Vatican. Papa Francis ametoa mahubiri katika Misa hiyo ambayo imehudhuriwa na takriban makadinali 120, maaskofu 400 na Zaidi ya mapadre…
Mji wa pwani wa Brazil wa Santos, ambao gwiji wa michezo Pele alianzia kuchezea na kupata umaarufu wake, umekua ukiendeleza shughuli ya kutoa heshima zake za mwisho siku ya leo kwa shughuli inayotarajiwa kuendelea kwa kipindi cha saa 24. Gwiji huyo wa…