Biden aidhinisha msaada wa dharura New York

 BY ISAYA BURUGU/DW,27TH DEC 2022-Rais wa marekani Joe Biden ameidhinisha kupelekwa kwa msaada wa dharura katika jimbo la New York kufuatia dhoruba kali ya theluji iliosababisha vifo vya zaidi ya 27 huku wengine maelfu wakiachwa bila nishati ya umeme. Kikosi cha dharura…

Korea Kusini yalaani hatua ya Korea Kaskazini kuipa silaha Wagner Group

BY ISAYA BURUGU 23RD DEC,2022-Wizara ya Mambo ya Nje ya Korea Kusini imesema inalaani hatua ya Korea Kaskazini kupeleka silaha kwa kampuni binafsi ya kijeshi ya Urusi ya Wagner Group. Wizara hiyo imesema leo pia inaunga mkono shinikizo la Marekani kuliwasilisha suala…

Polisi nchini Zambia wagundua miili 27 ya watu wanaodhaniwa kuwa wahamiaji.

Polisi nchini Zambia wamegundua miili 27 ya watu wanaodhaniwa kuwa wahamiaji waliongia nchini humo kinyume cha sheria kutoka Ethiopia na Somalia. kwa mujibu wa msemaji wa polisi, Danny Mwale,mtu mmoja alikuwa bado yu hai wakati alipopelekwa hospitalini. Sababu hasa ya vifo vya…

Marekani yadai Urusi na Iran zimetanua ushirika wao wa kijeshi

BY ISAYA BURUGU ,10TH DEC 2022-Utawala wa rais wa Marekani, Joe Biden umeituhukumu Urusi kutanua ushirikiano wake wa kijeshi na Iran kwa kuipatia Tehran mifumo ya kisasa ya ulinzi, helikopta na ndege za kivita. Msemaji wa Baraza la Usalama wa taifa nchini…

Mataifa mbalimbali yahimizwa kushiriki katika kulinda viumbe hai duniani.

Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa Antonio Guterres ametoa wito kwa mataifa yanayoshiriki kwenye Kongamano la Umoja wa Mataifa la Bayoanuai – COP 15 nchini Canada kushiriki katika jukumu la dharura la kufikia makubaliano thabiti ya kulinda viumbe hai duniani. Akizungumza mjini…

Paul Kagame atakiwa kusitisha uungaji mkono anayodaiwa kutoa kwa waasi wa M23.

Huku jumuiya ya Afrika mashariki likiendelea kufanya mazungumzo ya amani baina ya serikali ya Congo na waasi wa M23, Waziri wa mambo ya nje wa Marekani Antony Blinken ametoa wito kwa rais wa Rwanda Paul Kagame kusitisha uungaji mkono anayodaiwa kuutowa kwa…

Jeshi la Kongo lawashutumu waasi wa M23 kwa kuwaua takriban raia 50.

Jeshi la Kongo limewashutumu waasi wa M23 kwa kuwaua takriban raia 50 katika mji wa mashariki wa Kishishe. Haya yanajiri huku kukiwa na taarifa za mauaji ya watu wengi kufuatia kuanza tena kwa mapigano, huku usitishaji mapigano uliokubaliwa wiki iliyopita ukionekana kuporomoka.…

Kagame amtuhumu Tshisekedi kwa kutumia mgogoro kuchelewesha uchaguzi.

Rais wa Rwanda Paul Kagame amemtuhumu mwenzake wa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo Felix Tshisekedi kwa kutumia migogoro ya mashariki mwa DRC kama kisingizio cha kuchelewesha uchaguzi. Akizungumza bungeni jana jioni, Kagame alisema dunia nzima inailaumu Rwanda kwa migogoro hiyo, wakati Tshisekedi…