Rais William Ruto amewaonya wafanyakazi wa mamlaka ya ukusanyaji ushuru KRA dhidi ya kuendeleza ufisadi.
Akizungumza muda mfupi baada ya kuwasilisha rekodi yake ya ulipaji ushuru katika makao makuu ya KRA, rais Ruto alisema kuwa kuna baadhi ya maafisa wa KRA wanaoshirikiana na watu wanaokwepa kulipa ushuru suala ambalo anasema limeathiri pakubwa pato la taifa.
Vilevile aliwahimiza wasimamizi wa KRA kuhakikisha kuwa mamlaka hiyo inapata sura mpya iwapo inapania kuafikia malengo yake katika ukusanyaji ushuru.
𝐏𝐑𝐄𝐒𝐈𝐃𝐄𝐍𝐓 𝐑𝐔𝐓𝐎 𝐓𝐎 𝐊𝐑𝐀: 𝐄𝐌𝐁𝐑𝐀𝐂𝐄 𝐓𝐄𝐂𝐇𝐍𝐎𝐋𝐎𝐆𝐘 𝐀𝐍𝐃 𝐌𝐀𝐊𝐄 𝐓𝐀𝐗 𝐂𝐎𝐋𝐋𝐄𝐂𝐓𝐈𝐎𝐍 𝐅𝐑𝐈𝐄𝐍𝐃𝐋𝐘
President @WilliamsRuto has asked the Kenya Revenue Authority (KRA) to inspire confidence in Kenyans to pay their taxes.
He said the… pic.twitter.com/DPmwn5ucfy
— State House Kenya (@StateHouseKenya) May 26, 2023
Kenya Revenue Authority, Times Tower, Nairobi. https://t.co/dwdNPO4Nb4
— State House Kenya (@StateHouseKenya) May 26, 2023